Ijumaa, 1 Januari 2016

UELEWA WA KISIASA KATIKA SIASA ZA TANZANIA

Hicho kinachosemwa kuwa ni uvumilivu baada ya KUKATWA au KUPIGWA CHINI katika uchaguzi wa Oktoba 25, 2015, ni TUNU ya uelewa wa DHANA ya uchaguzi na kukubali matokeo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni