Jumanne, 6 Oktoba 2015

UCHAGUZI NI MCHAKATO WA UPINZANI

Watanzania waelewe wazi kuwa uchaguzi ni mchakato wa ushindani kupitia KAMPENI na mwisho upigaji KURA. Hakuna anayeweza kusema kwa uhakika kuwa ni lazima ataibuka MSHINDI. Kuwaaminisha wafuasi na mashabiki kuwa ushindi ni lazima, ni kutengeneza mazingira ya kutokuwa na IMANI kwa vyombo vya USIMAMIZI wa Uchaguzi. HAPA ni vema kuheshimu hatua zote za uchaguzi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni