Jumamosi, 24 Oktoba 2015

NI KWA NINI MBOWE HATAKI KUFUATA KANUNI ZA UCHAGUZI?

Kwa wafuasi wa CHADEMA/UKAWA, kwa Watanzania wote kwa ujumla na kwa Wadau wote wa uchaguzi NI KWA NINI M/Kiti wa CHADEMA MH. Freemam Mbowe kwa nguvu zote na muda wote AMESISITIZA kutokuwa na IMANI na sheria na kanuni zinazotawala mchakato mzima wa uchaguzi?
-Kuna majibu mengi hadi yale ya kijinga lakini kubwa ni lile la HOFU YA KUSHINDWA URAIS Mgombea wake na CHADEMA kusambaratika kutokana na mabadiliko aliyoingiza ndani ya CHADEMA.
Wananchi puuzeni "KULINDA KURA", pigeni kura, ondokeni kwa amani na pokeni matokeo kwa amani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni