Jumanne, 3 Novemba 2015

Watanzania wengi kwa ujumla wao wanashangilia na kushabikia wito wa kuandamana kupinga matokeo ya uchaguzi wa 25/10/2015 bila hata kuwa na uhakika wa kile kinachowafanya waandamane, wanaamini tu kila kinachosemwa na UKAWA hata kama kimefinywangwa tu.
Kwa kuwa suala ni kuamini tu, basi waamini tu na ule upande wa pili.
WAMEBANIKWA KWA AJILI YA HASARA YA BAADAYE.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni